tangazo
Loading...

.

YAFAHAMU MATOKEO YA TUZO ALIYOKUA AKIWANI DIAMOND PLATNUMZ, YAMETANGAZWA MUDA HUU

Q
Matokeo ya Tuzo aliyokuwa akiiwania mwanamuziki Diamond Platnumz kutoka Tanzania yametangazwa.
diamond platnumz bet 2016
Diamond Platnumz pamoja na wasanii wengine toka Afrika walikuwa wakiwania tuzo ya Best International Act: Africa na matokeo yametangazwa huku mwanamuziki Black Coffee kutoka Afrika Kusini ndiye aliyenyakua tuzo hiyo.
wwMwanamuziki Black Coffee kutoka Afrika Kusini baada ya kutangazwa mshindi.
Black Coffee ameweka historia baada ya kuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Kusini kushinda tuzo ya BET.
Tuzo za wanasnii wengine wa kimataifa zinatarijiwa kufanyika kesho Jumapili Juni 26, Marekani.

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MCHANYATO | Designed By JIJI LETU
Back To Top