tangazo
Loading...

.

Shamsa na Chidi Mapenzi Shamsa Ford kufunga ndoa Ijumaa hii

Msanii wa filamu Shamsa Ford anatarajia kufunga ndoa Ijumaa hii na mfanyabiashara wa nguo aitwae ‘Chidi Mapenzi’. 
Muigizaji huyo amesema kuwa ndoa hiyo itafanyika nyumbani kwa wazazi wake Sinza Africana jijini Dar es Salaam.
 

“Kweli bhana Ijumaa hii Mungu akipenda nafunga ndoa,” alisema Shamsa Ford.

Miezi mitatu iliyopita mfanyabiashara huyo alikiri kuwa kwenye mahusiano na malkia huyo wa filamu na kuweka wazi mpango ya ndoa.

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MCHANYATO | Designed By JIJI LETU
Back To Top