tangazo
Loading...

.

Mji wa Hong Kong ndio ghali zaidi duniani

Image copyrightBBC CHINESE
Image captionHong Kong
Mji wa Hong Kong ndio mji ghali zaidi duniani baada ya kuupiku mji wa Luanda, Angola kulingana na wafanyikazi wa kimataifa katika utafiti wa kila mwaka unaofanywa na shirika la Mercer.
Luanda ambao ulikuwa unaongoza orodha hiyo katika siku za hivi karibuni ulishuka kufuatia kudhoofika kwa sarufi yake.
Image captionMji wa Luanda
Mji wa Zurich na Singapore ni ya tatu na nne mtawalia katika orodha hiyo ikiwa haijabadilika kwa mwaka mmoja sasa.
Mji wa Tokyo sasa umepanda hadi nafasi ya tano.
Image copyrightTHINKSTOCK
Image captionZurich
Utafiti huo unalenga kampuni zinazotakiwa kuhesabu marupurupu ya wafanyikazi wa kimataifa.
Image copyrightGETTY
Image captionSingapore
Umepima gharama ya kuishi kwa takriban mataifa 209 duniani,ikilinganisha gharama ya viti 200 katika kila eneo ikiwemo,bei ya nyumba ya kuishi,uchukuzi,chakula na burudani.

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MCHANYATO | Designed By JIJI LETU
Back To Top