tangazo
Loading...

.

Ethiopia yatupa mipira ya kondomu milioni 69

Image copyrightTHINKSTOCK
Ethiopia inatarajiwa kutupa mipira ya kondomu milioni 69, iliyonunuliwa kwa kima cha dola milioni mbili kutoka na ubora wa chini wa mipira hiyo.
Hii ilitangazwa na mfuko wa serikali unaohusika na madawa nchini humo.
Hatua sasa zinachukuliwa kuhakisha kuwa fedha zilizotumika na zilizotolewa na shirika moja la kimataifa linalofadhiliwa na Umoja wa Mataifa
zimerejeshwa

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 MCHANYATO | Designed By JIJI LETU
Back To Top