tangazo
Loading...

.

Serikali Haijazuia Watumishi Wa Umma Kukopa Benki

Kumekuwa na taarifa inasambazwa katika mitandao ya kijamii, makundi ya ‘WhatsApp’, ‘Facebook’ na majukwaa mbalimbali ikieleza kuwa Serikali imepiga marufuku watumishi wa umma kukopa Benki,SACCOS,VICOBA na Taasisi mbalimbali za kifedha. Taarifa...

Ndalichako Asitisha Ajira za Walimu Wa Masomo ya Sanaa

WAZIRI wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, ametoa masharti mapya ya ajira za ualimu nchini, huku akisema Serikali haitaajiri walimu wa masomo ya sanaa (arts) kwa kuwa wapo wa kutosha. Akizungumza mjini Dodoma jana wakati...

Waziri Mkuu Acharuka....Asema NGO Chonganishi Zitafutwa

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa miezi sita ya kujitathimini mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanayofanya kazi zake wilayani Ngorongoro mkoani Arusha, kama yanafanya kazi kwa misingi ya sheria na maadili. Baadaye, yatahakikiwa...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Disemba 16

Advertiseme...
Older Posts
© Copyright 2025 MCHANYATO | Designed By JIJI LETU
Back To Top